KONGAMANO LA WIKI YA UTALII "KARIBU KUSINI"
MUCE walichaguliwa kuwa wenyeji wa kongamano lililofanyika tarehe 13 Disemba 2018 kwenye ukumbi wa mihadhara.
Mada zilizowasilishwa ni:
1. Umuhimu na mchango wa utunzaji wa mazingira katika kukuza utalii nchini;
2. Umuhimu wa michango wa miundombinu katika kukuza utalii nchini; na
3. Namna mipango ya matumizi bora ya ardhi inavyochochea ukuaji na uhifadhi wa vivutio vya utalii nchini.