UNIVERSITY OF DAR ES SALAAM
INSTITUTE OF KISWAHILI STUDIES (IKS)

Photos Gallery

.

Maadhimisho ya Siku ya Kiswahili Duniani (MASIKIDU-2023), tarehe 04-Julai 2023 katika ukumbi wa Maktaba Mpya ya Chuo Kikuu cha Dar es Salaam.

Read
Ujumbe kutoka Chuo Kikuu cha Port Harcourt Nigeria

Uongozi wa TATAKI ukiwa na Ujumbe kutoka Chuo Kikuu cha Port Harcourt Nigeria. Kutoka kushoto ni Dkt Adventina Buberwa Mudiri wa Idara ya Lugha ya Kiswahili na Isimu,

Read

Hafla ya kukabidhi ufadhili wa ALAF kwa wanafunzi wa MA Kiswahili wa UDSM tarehe 15 Disemba 2022

Read

Tarehe 09 Januari 2023, Taasisi ya Taaluma za Kiswahili tulitembelewa na wajumbe kutoka Idara ya Lugha na masomo ya Afrika,Chuo Kikuu cha 
Havard -Marekani

Read

Tunashukuru shirika la UNESCO kwa kuiadhimisha lugha ya Kiswahili na kuiwekea hadhi kubwa ambayo itaifanya ipate maendeleo zaidi duniani kote katika sekta mbali mbali

Read

Sherehe za Sabasaba za Mwaka 2022 zilizofanyika katika Mkoa wa Dar es Salaam. Taasisi ya Taaluma za Kiswahili ilishiriki Kikamilifu.

Read