UNIVERSITY OF DAR ES SALAAM
UDSM HOSPITAL (UH)

Magonjwa ya Akili

Magonjwa ya akili ni matatizo ya ubongo ambayo humfanya mtu kuwa na hisia, fikira na matendo tofauti na yale yanayotarajiwa na jamii na kushindwa kukabiliana na changamoto za maisha.

 

Magonjwa ya akili yanaweza kusababishwa na sababu za kibaiologia au kisaikolojia;

 

Tafadhali bonyeza hapo chini kupakua jarida kwa maelezo zaidi

Attachment: Download