UNIVERSITY OF DAR ES SALAAM
UDSM HOSPITAL (UH)

Saratani ya Tezi Dume

Tezi dume ni moja ya tezi la uzazi la kiume ambalo kila mwanaume analo, tezi hili lipo chini ya kibofu cha mkojo na linazunguka njia ya mkojo toka kwenye kibofu kwenda kwenye uume.

 

Jinsi umri unavyoongezeka tezi dume nalo huongezeka ukubwa ambao

unaweza kuwa wa kawaida au saratani.

 

Kuna aina tatu za magonjwa ya tezi dume:

  • Maambukizi ya Bakteria (Prostatitis).
  • Kukua kwa tezi dume ambalo sio saratani (Benign Prostatic Hypertrophy-BPH).
  • Saratani ya tezi dume.

 

Tafadhali bonyeza hapo chini kupakua jarida kwa maelezo zaidi

Attachment: Download