UNIVERSITY OF DAR ES SALAAM
UDSM HOSPITAL (UH)

Msongo wa Mawazo (Sonona)

Msongo wa mawazo ni mfadhaiko wa akili anaoupata mtu kutokana na shida, taabu, dhiki, matatizo au changamoto zinazomkabili katika maisha ya kila siku.

 

Mtu hupata msongo wa mawazo pale anaposhindwa au kukosa namna ya kukabiliana na jambo linalomsumbua.

 

Tafadhali bonyeza hapo chini kupakua jarida kwa maelezo zaidi

Attachment: Download