UNIVERSITY OF DAR ES SALAAM
UDSM HOSPITAL (UH)

Saratani ya Mlango wa Kizazi

Shingo ya kizazi ‘cervix’ ni sehemu ya kizazi kati ya uke na mji wa mimba. Sehemu hii ina kazi nyingi ikiwemo;

  • Kupitisha mbegu za kiume kuelekea katika mji wa uzazi na hatimaye mirija ya uzazi ili kupevusha yai,
  • Kupitisha damu ya hedhi
  • Mlango anaopitia mtoto wakati wa kuzaliwa.

 

Tafadhali bonyeza hapo chini kupakua jarida kwa maelezo zaidi

Attachment: Download