Chombo cha Habari cha Chuo Kikuu cha Dar es Salaam, Mlimani Media, kimeendelea kuweka alama ya mafanikio katika tasnia ya habari baada ya kutunukiwa tuzo maalum kwa mchango wake mkubwa katika kukuza, kueneza na kuenzi lugha ya Kiswahili.
CHANGE OF THE UNIVERSITY ALMANAC FOR THE 2025/2026 ACADEMIC YEAR
This is to inform the University community that the University Senate has approved changes to the official University Almanac for the 2025/2026 Academic Year as outlined below:
Announcement Date