TANGAZO LA KUITWA KAZINI-JUNI 2026
TANGAZO LA KUITWA KAZINI
Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (UDSM) kinapenda kuwataarifu waombaji kazi mbalimbali waliofanya usaili tarehe 2 hadi 4 Mei, 2026 kuwa, majina ya waombaji kazi waliofaulu usaili huo ni kama yalivyoorodheshwa katika tangazo hili.





